BASI LIENDALO HARAKA LAPATA AJALI ASUBUHI YA LEO MAENEO YA MAGOMENI USALAMA

Kwa taarifa iliyoifikia millardayo.com leo asubuhi ya May 29 2016 ni ajali iliyohusisha moja kati ya Mabasi yaendayo haraka na gari ndogo aina ya Vitz New Model eneo laMagomeni Usalama Jijini Dar es Salaam baada ya gari hizo kugongana, tunazifuatilia taarifa zaidi na nitakuwekea hapa hapa millardayo.com
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
IMG-20160529-WA0007
.
IMG-20160529-WA0006
.
.
.
.
.
.
 Source: milardayo.com
Share on Google Plus

About Mind 2022

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment